Sunday, July 20, 2014

NINAMSHUKURU BWANA YESU KWA VILE ALIVYOONEKANA KATIKA HUDUMA HII YA LEO (20/07/2014) TUKIWA KIJIJI CHA KILYABOYA. WATU WA MUNGU WAMEFUNGULIWA KUTOKA KATIKA VIFUNGO MBALIMBALI VYA IBILISI KWA JINA LA YESU

 Wakati wa Ibada ya Kusifu na kuabudu ikiongozwa na Mtumishi wa Mungu Samson Mollel

 Wakati wa Ibada ya Kusifu na kuabudu ikiongozwa na Mtumishi wa Mungu Samson Mollel


 Judith (Mrs Renatus Philibert) katika ibada ya kusifu 

 Mtumishi wa Mungu Renatus Philbert akinena Neno la Mungu kabla ya kuingia katika Ibada ya Maombi

Mtumishi wa Mungu Renatus Philbert akinena Neno la Mungu kabla ya kuingia katika Ibada ya Maombi

No comments: