Friday, September 2, 2016

TOA SADAKA YAKO KWAAJILI YA SEMINA YA NENO LA MUNGU NGUDU - KWIMBA, MWANZA (Tarehe 30/09/2016 hadi 02/10/2016)

Shalom!!!

Semina ya Neno la MUNGU, kwa muda wa siku tatu, kuanzia tarehe 30/09/2016 hadi 02/10/2016

Huduma ya Uzima wa Milele International Ministries (UMIM) kwa kushirikiana na huduma ya MANA mkoa wa Mwanza imeandaa semina ya Neno la MUNGU, kwa muda wa siku tatu, kuanzia tarehe 30/09/2016 hadi 02/10/2016 katika mji wa NGUDU wilaya ya Kwimba. Semina itakuwa ni semina ya tatu kufanyika katika mji huu wa Ngudu, semina zingine zilifanyika Februari na Mei mwaka huu (2016). Semina hizi zimekuwa za mafanikio makubwa sana kiroho na hata kimwili.

Tunamshukuru Mungu kwaajili ya watu wa MANA Mwanza kwa jinsi wanavyojitoa kwa muda wao na mali zao katika kuhakikisha semina hizi zinafanikiwa kila zinapopangwa, Mungu wa mbinguni azidi sana kuwabariki na kuwainua katika huduma aliyoiweka ndani yenu

Makadirio ya bajeti kwaajili ya semina hii ni shilingi milioni 3.Tunaomba sadaka yako ili tufanikishe semina hii. Pia ungana nasi kufunga na kuomba siku za Jumanne na Ijumaa ili kuombea semina hii ili kusudi la Mungu litimie.

Unaweza kutuma sadaka yako kwa njia ya:-

M-pesa namba 0752 606 041 Lucy Lusoloja (Mratibu UMIM - Kwimba, Mwanza) au 

0759 565 600 - Levina Deogratius, 

Tigo pesa 0713 664 338 Samson Mollel


Mungu akubariki kwa sadaka yako.

2 comments:

said...

Kwa karibu mwaka mmoja, mume wangu aliniacha mimi na watoto wetu wawili. Aliacha kujali, akaacha kupiga simu, na akaondoka kabisa. Nilikuwa nimevunjika moyo, nimechanganyikiwa, na karibu kupoteza tumaini. Kisha siku moja, rafiki yangu aliniambia kuhusu Dkt. Dawn, mtu wa kiroho aliyepewa kipawa na ulimwengu ili kuwasaidia watu kurejesha upendo na amani.

Mwanzoni, nilikuwa na shaka, lakini kitu kuhusu maneno yake kilinipa amani. Aliniambia haswa kilichokuwa kibaya na kwamba mtu alikuwa ametupa uchawi mkali kututenganisha. Aliandaa kazi maalum ya kiroho na uchawi wa kuungana tena kwa ajili yangu - na ndani ya siku chache, mume wangu alinipigia simu ghafla, akilia na kuomba msamaha.

Tangu wakati huo, maisha yangu hayajawahi kuwa sawa. Ndoa yetu sasa ni tamu na yenye furaha zaidi duniani. Tunapendana zaidi kuliko hapo awali, na nyumba yetu imejaa vicheko na baraka.

Lakini sio hivyo tu - Dkt. Dawn pia alisaidia kuondoa bahati mbaya na nishati hasi iliyozunguka familia yetu. Tangu wakati huo, kila kitu kimekuwa laini: amani nyumbani kwetu, maendeleo ya kifedha, afya njema, na furaha safi.

Ninashukuru ulimwengu kila siku kwa kuniongoza kwa Dkt. Dawn. Kwa kweli ni mtu mwenye nguvu na mwanga wa kimungu. Ikiwa unapitia hali yoyote - huzuni, bahati mbaya, au kuchanganyikiwa - usikate tamaa. Mfikie na uache ulimwengu ufanye kazi kupitia yeye ili kubadilisha hadithi yako, kama vile alivyobadilisha yangu.

Wasiliana naye kwenye WhatsApp: +2349046229159 dawnacuna314@gmail.com

said...

Uchawi wa mapenzi wa Dkt. Dawn hufanya maajabu kweli.

Niliwasiliana na Dkt. Dawn wakati uhusiano wangu ulipovunjika kabisa. Mpenzi wangu wa zamani alikuwa ameniacha na kunizuia kwenye mitandao yote ya kijamii. Nilivunjika moyo na kupoteza tumaini. Baada ya kushauriana na Dkt. Dawn, kila kitu kilibadilika. Mpenzi wangu wa zamani alirudi peke yake, akaomba msamaha kwa dhati, na akaomba msamaha. Leo, tunaishi pamoja kwa furaha, na hata tuna mtoto.

Maneno hayatoshi kuelezea jinsi ninavyoshukuru. Kutokana na uzoefu wangu, naweza kusema kwa ujasiri kwamba Dkt. Dawn ni halisi, anayetegemewa, na mwenye nguvu. Ikiwa unakabiliwa na hali yoyote ngumu maishani mwako hivi sasa, Dkt. Dawn anaweza kukusaidia.
ANAWEZA KUKUSAIDIA KWA MATATIZO YAFUATAYO:
Kurudisha ndoa na mahusiano yaliyovunjika
Kuvutia mafanikio na ukuaji katika biashara
Matatizo ya uanaume, utasa, na ukosefu wa watoto
Kurejesha mali zilizoibiwa au zilizopotea
Kurudisha kazi zilizopotea au fursa za kazi
Kinga dhidi ya uchawi na macho mabaya
Hirizi za mvuto
Kutatua migogoro ya ardhi na mali
Kuwafanya wapenzi kutimiza ahadi zao
Kushinda kesi mahakamani, na mengine mengi
Huu si ulaghai — ni ushuhuda kutoka kwa uzoefu.
Kwa maelezo zaidi, wasiliana naye moja kwa moja kwenye WhatsApp. +2349046229159. dawnacuna314@gmail.com